2 Corinthians 3:14-15

14 aLakini akili zao zilipumbazwa, kwa maana mpaka leo utaji ule ule hufunika wakati Agano la Kale linasomwa. Huo utaji haujaondolewa, kwa maana ni katika Kristo peke yake unaondolewa. 15 bHata leo Sheria ya Mose inaposomwa, utaji hufunika mioyo yao.
Copyright information for SwhNEN